Friday, December 7, 2012

NI JANET SOSTHENES MWENDA


    '''''''Hatimae Mtangazaji wa Muda mrefu aliekua anatangaza habari ITV Janet Sosthenes Mwenda, jana ametangaza rasmi kwamba amerudi kwenye TV na show inayoitwa  “ONGEA NA JANET”

  '''''''Shoo hiyo itakua ikirushwa na CLOUDS TV


Wakati wa mahojiano

mahojiano yakiwa yanaendelea



akiongelea kuhusu kipindi chake







NI ENEO RASMI LILILOANDALIWA KWAAJILI YA UZINDUZI HUO....NI CHICHI HOTEL



Hapa Janeth akielezea madhumuni ya kipindi hicho na changamoto mbalimbali anazokumbana nazo katika maandalizi ya kipindi




Isack gamba wa ITV/RADIO ONE akibadilishana mawazo na MR.DONALD TALAWA


Marafiki wa karibu wa janeth walikuwepo kumuunga mkono mwenzao kwa hatua nzuri aliyoifikia



No comments: