Sunday, January 6, 2013

usafishaji wa sofa za vitambaa





Usafi wa sofa.....(ya vitambaa...)


Nilitumiwa email na mdau mwenzetu, kua alikua anaomba kujua ni jinsi gani anaweza safisha sofa zake, na ni za vitambaa....

Nashukuru sana sana kwa kuuliza swali lako hapa kwetu, nami napenda kulijibu kama ifuatavyo....

Huku kwetu kwa asilimia kubwa hua hatuna utaratibu wa kusafisha makochi yetu, na hii ni kutokana na wengi wetu kuto kujua ni products gani atumie na zinapatikana wapi, sasa inaishia tuu kwenye kufuta futa tuuu, ama tunasubiria mpaka sofa iwe chafu sanaaa ndio tusafishe.... jua kua hapo unakua unaliharibu sofa lako na unalichakaza wewe mwenyewe, maana siku ya kuja kulisafisha ni lazima utalisugua na matokeo yake pale ulipo sugua rangi haitafanana na sehemu ingine,...

Natumai wengi wetu tunajua ama kusikia haya makampuni ya networking, kwa kweli kwa sasa yanakuja kwa kasi na ni mazuri maana yana products nyingi nzuri na ambazo hazijachakachuliwa....ama kua diluted...

Moja ya hii kampuni ni GNLD INTERNATIONAL, Hii kampuni nimeshafanya nao kazi, kwa miaka 3 na nusu, hii ni kua ninawafahamu, na kufahamu products zao.... si mnajua siwaletei vitu bila kujua ama kufanya research kwanza.....

Sasa basi, hii kampuni wana product yao moja kwa upande wa home care.... inaitwa SUPER 10, ni nzuri mno, na kwa wale wanaotaka kubana matumizi, basi products zao hawa ni nzuri maana una dilute mwenyewe kulingana na matumizi na mahitaji yako...

Super 10 kama mnavyoiona hapo juu,,, inahitajika kutumika na spray bottle yake, hii ina vipimo kabisa inakuonyesha.....

Kwa wale wenye sofa za vitambaa, kwanza kabisa, inabidi uipanguse vumbi, ama kama un hoover basi puliza, hakikisha hakuna vumbi kila mahali,

Unatakiwa kua na kitambaa kisafi kama kitaulo kisicho toa mavumbi, ama manyoa, maana itazidi kuchafua.

Hiyo Super 10 unaichanganya na maji katika ujazo wa 1:20 (vipimo viko kwenye spray bottle), halafu unaitikisa, unafanya hivi ili utakapokuja ku spray kwenye sofa isitoke maji, inatakiwa itoke povu,

Ukisha spray, unachukua kitambaa chako na unaanza kusafisha kwa design ya mduara, na usipulize sehemu kubwa, unakwenda kidogo kidogo.... mpaka unamaliza.

Baada ya hapo acha sofa lako likauke na utakua umeshafisha sofa lako, bila gharama kubwa....

Haihiitaji kua na hela nyingi kusafisha sofa yako kwa kutumia Super 10....

Upatikanaji wa Super 10, ni mpaka uwe member wao, na hapo kunakua na punguzo la bei, ila sio lazima kujiunga, unaweza kununua kwa mtu ambaye tayari ni member wao.


Naomba kwa watakaohitaji, mpigie huyu kaka anaitwa Tija, na kwa walio Dar anaweza kuja hata akakuonyesha jinsi ya kusafisha hapo hapo nyumbani kwako ama hata ofisini...

 

Wasiliana nasi kwa 0714950054 beatrice



Ni hayo tu kwa leo...... siku njema...




ZAWADI YA SENDOFF''''


 

Hii ilikua ni zawadi ya send off ya mmojawapo ya mdau wetu..... pilikapilika zote ilikua kama ifuatavyo

 na hapa ndio zawadi ya send off aliyopewa mtarajiwa siku hiyo.....kama inavyoonekana, ni kitanda cha 4 poster, neti, stool na dressing table ambavyo tulivitengeneza sisi homez deco... godoro, mashuka, na kapeti walivileta wao wenyewe wana kamati kutokana na choice yao ......

Vijana mzigoni very busy''''''Kwakweli huwa tunaheshimu kazi za wateja wetu na kuthamini mahitaji na matakwa yao bila kuacha kutoa ushauri pale tunapoona panawezekana kufanya hivyo ili kupata matokeo mazuri ya kazi tunazozifanya




 Picha hapo juu tukitandika kitanda, na kukiweka tayari, tulishirikiana kuweka mambo sawa, na tuliwahisha zawadi kwa muda waliohitaji....


Baada ya kazi so happy....
 Hapo juu, akiwa  anawasubiria walete mashuka tuweze kutandika na tuwakabidhi.....



sylivia mzigoni hana mchezo linapokuja swala la kazi kwakweli''''''so proud of u
 Hapa akifunga neti kwenye miguu ya kitanda...... 

 vijana wa kazi mzigoni........na kuhakikisha kilakitu kinaenda sawa...ni kama nyuki kwenye mzinga
 neti ikipachikwa kwenye kitanda...ni rahisi kuwekwa,jionee mwenyewe

 Dressing table.....
 Seti ya harusi........




Tukiandaa seti ya zawadi ukumbini....

 kila la kheri maharusi wetu tunawapenda sana

Tunapenda kuwakaribisha wote ambao wangependa kuwapa zawadi maharusi ya fanicha za chuma...bei zetu ni sawa na bure karibu, na tuwasiliane kwa mahitaji hayo kwa 
0714 950054 au e-mail bkanemba@yahoo.com


TUNAWAPENDA KARIBUNI SANA!!






  Zawadi'''

 

Ilikua ni mdau wetu aliyetaka kutengenezewa hizi zawadi ili akamtuze bi harusi wake ...na sisi tulifanya kazi zetu ikawa kama ifuatavyo

Zawadi ya bi harusi mtarajiwa.......


Zawadi ilikua ni kitanda, stool, na dressing table....alikabidhiwa katika chakula cha usiku kilichoandaliwa na familia....


inapendeza kwa kweli, hasa ukimzawadia mtarajiwa, vitu vinavyodumu kwa kweli....


nawatakia kila la kheri katika maisha yenu ya ndoa....

  Toa oda yako wasiliana nami kwa 0714950054

KARIBUNI SANA SANA TUNAWAPENDA WOTE'''



Site.....Kunduchi....tuliweka pazia...



Pazia zina design nyingi tu za kufunga, moja wapo nii hii,.... sasa tutaendelea kuwaletea design za kufunga pazia mara kwa mara,,, na inapendeza......

Yeye huyu hakutaka pazia nyepesi....

Thanks mteja wetu...... kazi ilikwenda salama......tunakutakia kila la kheri.......


Kazi, site ya Mwananyamala.........


 Baada ya kuweka pazia, design ilikua ni ya eyelet......tuliweka chuma za pazia na tukaweka na pazia.....kwa mtazamo wa haraka haraka, mteja wangu huyu alitaka neutral color  sitting room.....


 Hapo juu ni mimi na fundi tukiweka vizuri pazia......

 Sitting room kabla.....

 Sylivia akiweka pazia.......hapa ni kazi tu

 Chumbani.....tuliweka pazia na chuma za pazia....

 Chuma za pazia....

Hapa ni baada ya pazia kua tayari..... Huwa tunafurahi na kushukuru wateja wetu wakipenda kazi zetu

Mapazia - Mbezi

Hizi ni picha ya mapazia tuliyoshona site ya mbezi kwa mteja. Tunamshukuru mteja huyu, kwani alikubali tupige picha na tuweze ku share picha hizi.

Nyumba bado ni mpya, sasa yeye anatengeneza nyumba yake kwa awamu, si mnajua kila kitu kinawezekana? Haijalishi una hela ama hauna.

Amejenga nyumba yake, umekwisha aakaahamia, akaanza kutengeneza pazia, halafu ndio fanicha. etc

Hapa tuko kazini, busy,, kwa kweli Homez deco haijalishi bosi ama mfanyakazi, wote tunaingia mzigoni ili ku meet deadline, na kazi iweze kuwa nzuri, (umoja ni nguvu, utengano ni dhaifu).

(fuatilia picha zaidi, wakati tunakwenda kumfungia nyumbani kwake)Stay tuned



Kazi ya jumapili. 

Ilikua kumfungia mteja mapazia tuliyomtengenezea,,,ASANTE MAMA CATHERINE WA MBEZI. Wewe wangoja nini?



Picha za chini ni kabla sijaweka curtains





Furniture za chuma zinavyopendezesha nyumba.......




 Chuma hupendezesha sana nyumba, na kuvutia sana... ni jinsi tu ya kuzipangilia, na ni rahisi kuzi maintain, kwani kwa usafi, unaona mpaka uvunguni, hauhitaji mpaka siku ya weekend ndio ufanye usafi, ama kugombana na msaidizi, kua kuna mahali haujagusa kufanya usafi.....

Nawatakia siku njema...........


Hizi ni baadhi ya urembo wa mapazia kwa juu


Baadhi ya Mapazia

Mapazia




Designs za mapazia






Designs za mapazia