Sunday, January 13, 2013

Mh' unataka kujua nini kinaendelea hapa''??


Haya kwa wale wenye sehemu za biashara, karibu tuwasiliane, sio lazima eti iwe ni biashara kuubwa, hata ndogo uliyonayo, tuta decorate, kumbuka kwamba, kwenye biashara kinachomvuta mtu wa nje ni rangi,pia tunapaka rangi majumbani unaweza penda kubadili sitting room yako,jiko,stores,bed room yako au play room ya watoto.....tuwasiliane 0714950054.tumeshafanya kazi nyingi za kupaka rangi toka kwa wateja wetu tofauti karibu na wewe....

 

               mh'''jamani mimi nae maneno yamekua mengi nisikumalizie uhondo jionee mwenyewe.......

Uzinduzi wa Rangi za Dulux za kampuni ya Sadolin Paints..



                                                 ''''happy people'''

sylivia alipata picha ya pamoja Kutoka Kushoto, Vailet, sylivia, Mr. Geoffrey yeye ni Protective Coating Manager, na Renalda, wote wakiwa na zawadi zao.......
 Ukuta huu ulipigwa rangi na waalikwa waliokua wamehudhuria.......


  Mr. Ilyas, yeye ni Sales Manager .........ndiye aliyetupa mwaliko katika hafla hiyo ya uzinduzi
 Mlango uliopigwa vanish........

ni picha inayoweza kuchorwa ikawa kivutio kwa watoto mfano katika shule na hata play rooms za watoto pia.....loh amaizing kwakweli




 Rangi za milango/mbao zipo pia........unang'aa mlangooooo kama kioo..........hahhahahah nice.....


 Kulikua na fashion show ya watoto walituandalia.....








 Nilipenda huu mchoro..........
sylivia akiwa amepozi angalau kupata kumbukumbuku au kutiki jina kuwa alikuwepo uwiiiiiiiii'''''


 Kuta zao kwa nje ya madarasa, wamechora picha za Tinga Tinga.... zinavutia sana,......si unaona ni kama wamebandika... kwa jinsi zilivyopendeza......
ha haaaaaaaaaaaaaaaa...sylivia mzigoni
 Huu mti sio wallpaper jamani, umechorwa kutumia rangi zao, na umependeza kweli.... hongera kwa mchoraji.....kwa kazi nzuri....
 Tulipata fursa ya kupaka rangi kwenye moja ya kuta waliyotuandalia..... na watoto......so interesting kwakweli

 Shughuli ilifanyika katika kituo cha kulelea watoto cha SOS.....


Rangi hizo mnazoziona nje ya majengo ndizo za DULUX za kampuni ya SADOLIN Paints.... najua wengi wetu tunaifahamu kampuni hii ya Sadolin...


Uzinduzi wa rangi hizi mgeni rasmi alikua Mheshimiwa mama Salma Kikwete.  Mheshimiwa mama Mary Nagu pia alikuwepo, na wengineo....


Shughuli ilikua nzuri, na ilienda vizuri, na tulipewa nafasi ya kujaribu rangi hizo kupaka ukutani na kujionea wenyewe...


Kwa kusema ukweli rangi hizi za DULUX ni nzuri, na ziko rangi za kila aina unazozitaka, kutokea kwenye rangi zilizo pooza, mpaka zile kali.....(from neutral colors, cool colors, warm colors etc.....)


tunapenda kuchukua fursa hii kwa kushukuru kualikwa na kujionea mwenyewe..... na tumealikwa kiwandani, kwenda kujua zaidi ya hizi rangi, na kupata maelezo zaidi juu yake..


tunawaahidi kuwaletea yote tuliyopata kutoka kwao...........


Bila kusahau tulipewa zawadi......... unataka kujua ni zawadi gani hiyooooo.......


Endelea kua nasi......


NB:


tuliwaahidi mwaka huu na kuendelea, mungu akitupa uhai, tutawaletea vitu vizuri, vya kuboresha ujenzi wa nyumba/ofisi zetu....... na kuremba nyumba kisasa.........Kazi imeanza sasa..........




Kazi ya Homez Deco.........Hii ni restaurant iko njia panda ya africana mbezi, mwisho wa ukuta wa mbezi tiles

 Muonekano wa nje wa restaurant......kumbuka barabara inajengwa, ndio maana wakaweka daraja la muda hapo.......

 Hawa ni wafanyakazi wa The Junction Restaurant....... Unajua bwana sisi tulimpenda mmliki wake, kwa kuchagua wanawake zaidi, mwanaume ni mmoja hakuwepo siku hiyo..... Sio siri tulifurahi sana kua wanawake wanapewa kipaumbele kwenye kazi....ona walivyo wasafi,, na mpishi anaonekana, waitress anaonekana, manager anaonekana........Hongera Elly.......Hapauzwi pombe......
 sylivia alikaribishwa na juice kwanza, yaani hapa wateja wote ni sawa, si mnajua kua akienda mwanamke, haudumiwi haraka, akienda mwanaume ndio huduma fastaaaa. hapa hakuna hiyoooooo  tuliipenda hii juice, jamani ni nzito kama vile wana shamba la matunda......
 haya  counter hiyoooooo kusafi kweli kweli......
 dada yuko bize,,, na ni wasafi hawa watu wa jikoni,, hivi si unajua kwenye hizi restaurant zetu, jamani ni wachafu... utadhani chakula kikitoka hapo ni cha 5 star hotel duh...
 Jiko........ hakuna mainzi hapo..... maana niliingia kila kona.......
 mlango wa kuelekea toilet....


 tulikua happy.....kwa kazi zao walivyojipanga.....
 kusafijeeeee,,,,..... Hongera Elly....
 Haya jiko hilooooooo.................. walikua wanafanya matayarisho ya chakula cha mchana...
 toilets.......
sylivia herself......huwa tunahakikisha hatutoki kwako mpaka umefurahi na ni raha sana kuona mteja ameridhika na kazi yetu'''''''''






Hii picha naipenda sanaaaaa,,,, sasa basi Elly yeye anapenda sana timu ya manchester, sasa basi tulichofanya tukapaka hiyo rangi nyekundu, na tukachanganya na zinazoendana, ili kuipooza hiyo red, na ukiangalia hiyo picha ndio kabisaaaa inazidi kuvutia.....
 


 msisitizo......
 jamani tupende visehem vyetu vya biashara hata kama ni padogoooo kama utapatengeneza patakua pazuri kwa kupaka rangi ...... kwa wale wenye sehemu za biashara, karibu tuwasiliane, sio lazima eti iwe ni biashara kuubwa, hata ndogo uliyonayo, tuta decorate, kumbuka kwamba, kwenye biashara kinachomvuta mtu wa nje ni rangi.........

Karibu The Junction Restaurant......




DELIVERY OF WALL PAINTINGS (DULUX PAINTS) FROM SADOLIN


 Gari la Sadolin Paints kama linavyoonekana likiwa limewasili ofisini kwetu, Homez Deco Kinondoni....




sylivia akikabidhiwa rangi, na akikagua rangi ambazo tulitoa order kutoka kwao......Hizi ni rangi za dulux, zimeshaanza kununuliwa na wateja wamezikubali, kwa kubana matumizi ya rangi nyingi, na hudumu zaidi ya kuanzia miaka 8-10 baada ya kupaka, na bila kupauka.....

Kwa wale wenye kuta ambazo zinasumbuliwa na ukungu, ama fangasi ya ukuta, sehemu zenye maji maji....ipo product ya kumaliza tatizo hilo......

Karibuni sana.....


Dulux Paints........




Hizi ndio rangi za Dulux, ukiangalia kwanza kabisa ndoo zilizotumika kuhifadhia rangi hizi, ni nzuri na zinavutia.....na kwa upande wa matumizi, rangi hizi hubana matumizi sana kwa utumiaji wake, yaani sehemu ya kutumia ndoo 3 wewe utatumia ndoo 2......kwa mfano hicho kindoo kidogo ni lit. 5 kinatosha kabisa kupaka chumba kimoja...... sasa fikiria ndoo ya lit. 20.....

Rangi hizi mzionazo hapo juu, zinatosha kwenye nyumba ya vyumba 3 vya kulala, jiko, dinning, sebule, na nje ukuta wa nyumba nzima......

Kwa upande wa bei, ni mpaka nijue ni rangi gani utahitaji kwani kadri inavyozidi kubadilika ama zile rangi tofauti tofauti kama pink, green, blue etc...bei ni tofauti....

Tayari tumeshaanza kupokea orders za rangi za Dulux na wadau/wateja wetu wanazifurahia na kuzipenda kwani mkombozi wa kubana matumizi amewasili Tanzania......na rangi hizi hudumu ukutani kwa muda wa miaka 8-10.......bila kupauka ama kubadilika rangi yake......

Karibuni mtoe order.....wasiliana nasi kwa simu namba 0714-950054 ama email: bkanemba@yahoo.com