Tuesday, March 19, 2013

Yesuuu Nakupendaaa'

''Yeeeesuuuuuu'''nakupendaaaaaaaa''
''U mali yangu,umebaki pekee kwangu''
''kaa nami siku zooteeeeeeeee''

Hakika ni neema ya ajabu kuwa na ulinzi mkuu kutoka kwako,niseme nini mbele zako MUNGU wangu kwani ukuu wako ni wa ajabu maishani mwangu..
Wapendwa nina kila sababu ya kumshukuru mungu kwani kwa mara ingine amenionekania na kujidhihirisha kwani naamini Bwana wetu hatotupungukia na tukimwita yeye hutujibu..

Ninachojifunza ni kuwa dears tusikate tamaa na majaribu ni mtaji wa kupandisha imani zetu,kwa eneo ulilopo  amini Mungu anajua hitaji lako na atafanya tu no matter ni majaribu gani unayapitia sasa'''Yeye ni jina lipitalo majina yote'''amini tu usikatishwe tamaa na jaribu ulilonalo

barikiwa rafiki''