Tuesday, December 11, 2012

NI MIAKA SABA YA THT DAR LIVE





Familia ya THT ikiwa jukwaani wakati wa kusherehekea miaka 7 toka kuanzishwa.



NI SHILOLE



Vijana wa THT wakiwasha moto wakati wa sherehe yao ya kutimiza miaka 7 ndani ya Dar Live usiku wa kuamkia leo.




Msanii Ben Pol akiwajibika stejini.


NI DOGO ASLEY


Dancer wa THT akionyesha machejo jukwaani.

 Mzee yusufu alikuwepo kuburudisha


ni dogo asley na bi cheka

http://api.ning.com/files/8kOT7WeDMS4ykmsmFemeqgQbx1hkVMA78tC8WeH7qpSIvFPiZn857-0cPfz1Y-nRy*bM3jCdUg-p1KGr7rD6udP7mbuIDMus/THTBIRTHDAYDARLIVE17.JPG
   RACHEL wa THT akiwapagawisha mashabiki



msanii LINAH akiwa stejini kutumbuiza


               diva wa clouds akiwasalimia mashabiki


queen darlin akiwa jukwaani

WOMEN IN BALANCE KITCHEN PARTY GALLA



NI mratibu wa Women in Balance Kitchen Party Gala Dina Marios (kushoto) na Mgeni wake kutoka Kenya Bi. Getrude Mungai.(Picha zote na Zainul Mzige).


Salma Msangi wa Channel Ten na Magic Radio.


Mratibu wa Women in Balance Kitchen Party Gala Dina Marios akiteta jambo na Mama Veronica.

 


Ni Aunty Sadaka na Mwanasaikolojia Chriss Mauki.

 

 Warembo katika pozi


Msemaji katika Hafla ya Women in Balance Kitchen Party Gala Mhadhiri Msaidizi wa Idara ya Saikolojia katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Bw. Chris Mauki akitoa somo la Saikolojia



life Style Designer of Sex and Relationships kutoka Kenya Bi. Getrude Mungai akitoa somo la kuhusiana na masuala ya mahusiano ya kimapenzi kwa wenye ndoa na wasiokuwa na ndoa



Msemaji wa mwisho alikuwa ni Mama Veronica aliyewaacha hoi kwa vicheko wanawake waliohudhuria Kitchen Party Gala ambapo alizungumzia masuala ya uvumilivu katika ndoa sio tu kukosekana kwa kipato ndani ya nyumba bali hata mikimiki ya Unyumba kwa wanandoa.




dependent Sales Consultant wa bidhaa za Oriflame Bi. Jesca Mwakyulu akionyesha bidhaa ya Feminele Intimate Wash ya Oriflame 



mmoja wa wadhamini wa Women in Balance Kitchen Part Gala Mwakilishi kutoka TSN Super Market Lizbeth akitangaza zawadi kumi kwa wageni waliohudhuria Kitchen Party Gala

 
 Mkurugenzi wa Prime Time Promotions, Juhyna Kusaga (kushoto) na mdogo wake.

 

 Mbunifu nguli wa mavazi nchini Khadija Mwanamboka (kulia) a.k.a Kubwa la maadui alikwa miongoni mwa waliohudhuria Women in Balance Kitchen Party Gala.

 

 Skylight Band walikuwepo kutumbuiza Hafla hiyo. Uzao wa Bongo Star Search Mary Lukas akitoa burudani.



EVANS BUKUKU COMMEDY ILIVYOKUA NYUMBANI LOUNGE





Mchekeshaji wa kundi la VUVUZELA ENTERTAINMENT linalosimamiwa na Evans Bukuku, Raymond akionyesha makeke yake, katika onyesho lao ambalo hufanyika kila mwishoni mwa mwenzi ndani Nyumbani Lounge jijini Dar.




Mchekeshaji machachali wa kundi la Vuvuzela, DOGO PEPE akiwavunja mbavu wageni waliojitokeza katika onyesho lao.




watazamaji wakifuatilia kwa makini vichekesho vilivyokua vikiendelea jukwaani



bado wakifurahia show hiyo







Mchekeshaji wa kundi la VUVUZELA ENTERTAINMENT, Evans Bukuku akionyesha makeke yake, katika onyesho lao ambalo hufanyika kila mwishoni mwa mwenzi ndani Nyumbani Lounge jijini Dar.






 Mchekeshaji wa kundi la VUVUZELA ENTERTAINMENT, Evans Bukuku, akiwaangalia vijana wake wakifanya makeke yao.





NI mshereheshaji TAJI LIUNDI akiongea na baadhi ya watu waliohudhuria siku hiyo





show ikiendelea

ILIKUA NI FAINALI ZA EBSS




Mshindi wa Epiq Bongo Star Search 2012WALTER CHILAMBO katikati,baada ya kukabidhiwa zawadi ya mshindi wa kwanza  jumla ya Shilingi Milioni 50 za Kitanzania




 Mshindi wa pili katika shindano hili kushoto ni Salma Yusuph muda mchache akiwa naWalter Chilambo kabla ya kutangazwa mshindi.





ni wakati wa kufanya make up


Anaitwa Salama mmoja wa majaji wa shindano hili

chini,,,,,,,

 Washiriki wa Washindano la EBSS 2012 ambao wamefanikiwa kuingia fainali ya shindano hilo wakiwa jukwaani usiku huu wakati wa kuanza kwa fainali hizo. Ni ndani ya Ukumbi wa Diamond Jijini Dar es Salaam. Mshindi kuondoka na kitita cha Shilingi Milioni 50 za kitanzania.