Saturday, February 9, 2013

IT'S 14th february

Redds inaendesha promotion ya kipindi cha sikukuu ya wapendanao ambapo kilele chake ni tarehe 14/02/2013,pichani ni baadhi ya wateja walioenda katika eneo lao wakipatiwa zawadi zao ambapo wameamua kufanya promosheni hizo katika supermarkets mbalimbali












https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh5EGFPhokgq1IZXt6RNv20KAROrwLQq2r6w6ky7FehWoCx4HvEnPW6Q1ui-O73MUnv7m8ooJxDB0lr0OHRjgyxJYe2bG3bI_4ZEygmr9OrkGijemyCUzn7bBQ0nWSy1VjpxnODIaWeRlt1/s1600/Poppy+Redb.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjcO_cNmMg6LlJG-RwoCVmx7IvTyy2jz5a7uHrL3CeF5nlK2Oobbg5NyvMans_w9ApF0rCIjHua4OPXY_XBzmN6TEK-2T66yuRY7X0bKVHEyBFijazlSaz1AXzGFRtcrYnZgjMRmK_s-Et9/s1600/Michelle-Obama-2013-Inauguration-Jason-Wu-600x900.jpg
na michelle obama ndani ya red dress kapendeza

 


WENGI WAPEEEEEEEEEE'

NI KUTOKANA NA MAOMBI YA FANS WANGU JUU YA JINSI GANI TUBORESHE BLOGU YETU 
ngoja nikupe uhondo kidogoooooo najua una ham ya kujua'''

.....NI HIVI,
NIMEPATA MAOMBI MENGI TOKA KWA FANS WA BLOGU YANGU KUWA IKIWEZEKANA ITAKUA POA ZAIDI TUKIWA TUNAPOST MAMBO GANI YANAYOKUA YANATOKEA KILA SIKU KTK SEKTA TOFAU2 NA HATUTOCHAGUA ATLEAST TUTAKUA TUNAUPDATE MARA NYINGI TOFAUTI NA ILIVYOKUA SO BIG UP MY PEOPLE nimesikia faraja kuona tunaweza kupeana mawazo tukafikia muafaka MUNGU AWABARIKI SANA nawapenda sitoacha kukubali so nimesikia mawazo yenu na nimefanyia kazi SO,,,,,SO GUYS tutakua tunahabarishana kila siku mtu asije kushangaa kimetokea nini na kuhusu mambo ya home decoration ni mulemule hatutaacha kuupdate,nilichojifunza hapa kwakweli 
          
       wengi wape no matter what wengi ni wengi tu
  ha haaaaaaa
   stay blessed!!

                  

MMMHH'' nilipofika hapa nilistop for a moment


Hata kama ni tatoo this is ............ha haaaaaa malizia mwenyewe



i'm loving my girl ANITHA

 I cant wait saying this,,,,
She is beautifull with full of fashion in her blood uuuuuuuuuuuuuh''



A little bit more.......

 
Guys,,,,,nampendajeee sasa
                         


she is rocking'''

kapendezajeeeeeeeeeee'


       ni yeye binafsi.....kwake no comment katika swala la urembo na fashion



go girl,,,,,,,,,,goooooo