Monday, March 25, 2013



HONGERA SANA NANCY (MAMA ZURI) KWA KUTOA KITABU KIZURI CHA WATOTO,HILI NI WAZO ZURI KEEP IT UP'''''
 

 ni miss tanzania 2005 na miss world africa NANCY SUMARI ambae kwa mara ya kwanza amefanya uzinduzi wa kitabu chake cha NYOTA NJEMA ambacho kwa maelezo yake amesema kinalenga kumpa  mtoto changamoto ya kujikubali akiwa bado mdogo.


Hapa akiwa katika studio za CLOUDS AKIFANYA MAHOJIANO NA dinna marios wa LEO TENA