Friday, November 30, 2012


MH''' I REAL LIKE THIS LADY JAMANI


Siwezi sema uongo ninapenda nyimbo za huyu dada kila ninapopata nafasi ya kuzisikiliza huwa nabarikiwa sana.....


BARIKIWA PAMOJA NAMI.......




Anakwenda kwa jina la CHRISTINA SHUSHO

ZAIDI jamani ni ule wimbo wa 

'''mimi nataka ushirika na wewe ewe rohoooooooooo,mimi nataka ushirika na weeeeeh'rohoooh

 


No comments: