Wednesday, December 5, 2012

SIRI YA MTUNGI YAZINDULIWA RASMI


Tamhiliya ya aina yake inayokwenda kwa jina la siri ya mtungi inayodhaminiwa na KAMPUNI YA WATU WA MAREKANI ya MFDI yaani MEDIA FOR DEVELOPMENT INTERNATIONAL imezinduliwa jijini katika ofisi zao zilizopo msasani na itakua ikirushwa na ITV pamoja na EATV



hivi ndivyo ilivyokua



Hapa ni mkurugenzi akiongea katika uzinduzi huo

 

hapa ni mkuu wa vipindi wa itv na eat akiongea machache kuhusiana na tamthiliya hio




Huyu ni muhusika mkuu alieigiza kama cheche

na hapa ni washiriki mbalimbali walioshiriki tamthiliya hiyo

 http://api.ning.com/files/z7lzoxSxwKOxs5tbmVKWREvnDNiBqj4Yo2m6xDGGjb8eIJUcIpQjpQ2CDfCvXOv6TQOX0Qf-kGczo3x0LaJCbQ__/7.jpg



Photo


SIRI.EP.1.200



No comments: