Monday, December 10, 2012

MIUJIZA YATENDEKA MKUTANO WA BIAFRA

Hakika mungu alionekana kwa njia ya maombi na nyimbo...na waimbaji tofauti yoka sehemu mbalimbali walikuwepo kumlilia Mungu






BAHATI BUKUKU kimwimbia mungu


Maombi yakiendelea na roho mtakatifu akiendelea kufungua watu


Ni baadhi ya watu waliokua wakiendelea kutoa ushuhuda



HAPA NI MR.tusimfu  akimwimbia mungu

No comments: