Wednesday, December 19, 2012

NI PRAISE IN THE CITY ILIVYOFANA DIAMOND JUBILEE

 hakika MUNGU wetu hukaa kwenye sifa,

Ni Tamasha la Praise in the City lililoandaliwa na kanisa al living Waters Makuti Kawe jijini Dar es salaam limefanyika vyema kama ilivyotarajiwa na kubariki wengi waliohudhuria katika ukumbi wa Diamond jubilee.
  Tamasha hilo lilihudhuriwa na waimbaji mbalimbali kama

John Lisu, Glorious Celebration,Riot dancers wandaaji wa tamasha hilo Living Waters pamoja na waimbaji wengine.




                                   Mtume Onesmo Ndegi akizungumza jambo
 


Baadhi ya wapigaji wa Living waters wakiwa tayari jukwaani.









GLORIOUS CELEBRATION walikuwepo pia kumtukuza MUNGU wetualiye hai








































































No comments: