Tuesday, December 11, 2012

EVANS BUKUKU COMMEDY ILIVYOKUA NYUMBANI LOUNGE





Mchekeshaji wa kundi la VUVUZELA ENTERTAINMENT linalosimamiwa na Evans Bukuku, Raymond akionyesha makeke yake, katika onyesho lao ambalo hufanyika kila mwishoni mwa mwenzi ndani Nyumbani Lounge jijini Dar.




Mchekeshaji machachali wa kundi la Vuvuzela, DOGO PEPE akiwavunja mbavu wageni waliojitokeza katika onyesho lao.




watazamaji wakifuatilia kwa makini vichekesho vilivyokua vikiendelea jukwaani



bado wakifurahia show hiyo







Mchekeshaji wa kundi la VUVUZELA ENTERTAINMENT, Evans Bukuku akionyesha makeke yake, katika onyesho lao ambalo hufanyika kila mwishoni mwa mwenzi ndani Nyumbani Lounge jijini Dar.






 Mchekeshaji wa kundi la VUVUZELA ENTERTAINMENT, Evans Bukuku, akiwaangalia vijana wake wakifanya makeke yao.





NI mshereheshaji TAJI LIUNDI akiongea na baadhi ya watu waliohudhuria siku hiyo





show ikiendelea

No comments: