Friday, January 4, 2013

CURTAIN POLES




Site ya Kitunda (Dar) - Homez Deco, tuliweka curtain poles, pazia na vitanda vya chuma na neti .....


 

Hapa ndio sitting room baada ya kazi kumalizika jinsi kunavyoonekana...rangi ya ukuta ni blue....hivyo nikaweka pazia hizi, zenye doti doti ziweze kuleta mvuto zaidi.....

 

Kitanda .....kikiwa na neti yake....(ijulikane kua hatuuzi kitanda na godoro)

 Dinning room pazia zikiwekwa vizuri...

 Dinning room

 Pazia za dinning room

 Pazia za chumbani.....

 Sitting room,

 Pazia zikiwekwa vizuri za sitting room

Hizo ni pazia za jikoni, na hizo nyaya ni za hita......



Nyumba hii  ni mpya, na mwenye nyumba anataka kuhamia mwezi wa kumi na mbili, hivyo anafanya kwa awamu, tumemaliza pazia, vitanda, sasa anajiandaa kuweka furniture zingine zilizobaki, kama sofas, etc.......


Site Mbezi beach.....Tuliweka pazia...na chuma za pazia

 Dinning room..........Rangi ya nyumba ni light blue, na ukiangalia kwa makini, unagundua kua mwenye hii nyumba anapenda neutral colors..... mpangilio ni mzuri, na hakujaza vitu dinning, dinning si pakujaza vitu, ndio paonekane pamependeza.....zingatia ukubwa wa dinning room yako, ndio uweke furniture, Dinning pamependeza.......

 Living Room........Hapa pia ni pazuri, na nilipenda alivyoweka carpet yenye red, maana ime weza kuchangamsha....Ukijiamini unaweza... kupamaba nyumba yako.......


Hongera kwa mwenye nyumba.......na asante kwa kunipa nafasi ya kupiga picha na kuja ku share na wadau....






No comments: