Friday, December 21, 2012

ALIYEDHANIWA AMEKUFA AFUNGA NDOA KANISANI

YAHWE UHIMIDIWE!!!!!!!!!! 
 Uaminifu wako umejulikanaaaaaaaa'''''''''
Kwa mataifa yote ya ulimwenguuu'''''''''
Yahweeeeeeee eeeeeeeee''''''''''''

Hakika shetani imekula kwake..........ilikua ni kwamba asiione siku yake inayofuata ila Mungu aliweza kujidhihirisha   miongoni mwa nguvu za giza...JINA LA BWANA LIHIMIDIWE

Bwana harusi Emmanuel Mwangosi akimvisha pete mkewe Magreth Mtebe huku bibi harusi akiwa katika furaha kubwa na kumshukuru Mungu kwa kumuepusha mumewe katika ajali iliyotokea usiku wa kuamkia Jumamosi.







Hii ndiyo ajali aliyopata bwana harusi Emmanueli aligongwa na gari aina ya Toyota GX 100  Emmanuel yeye alikuwa anaendesha pikipiki usiku wa kuamkia Jumamosi mida ya saa sita na nusu usiku alikuwa anaenda kwenye mkesha kanisani ndipo ajali hiyo ikatokea maeneo ya Mafiati Mbeya wengi wa mashuhuda hao walijua mwendesha pikipiki hiyo amekufa papo hapo.














Tuna kila sababu ya kukiri kuwa shetani ameshindwa na hana mamlaka katika ufalme wa Roho mtakatifu








No comments: