Sunday, December 30, 2012

MWAKA 2013!!!!!!!! RUHUSU AMANI YAKE KATAA MAHANGAIKO


Yamebaki masaa machache mpaka kuuona mwaka 2013'''''

Jamani Mungu ana huruma, wema,neema,rehema,upendo sana,

ukitafakari unaweza anza kulia tu hata kama ni mwanaume na haijalishi uwe ofisini,maombini, unaendesha gari,umelala,unatembea, unapika,unasoma, unalima huko village, uko bafuni unakoga, unaweza piga magoti huko huko hata haisumbui, maji ya mvua uyayokoga yanapoendelea kukumiminikia, unaweza anza kububujika na machozi ya furaha na kunena mara tu ukumbukapo wema  na fadhili zake............


Usikate tamaa kwa yale ambayo hayakuwezekana 2012 basi amini kuwa yatafanyika kwa uwezo wake,.....

blogu hii ya burudika inawatakia kila la kheri katika maandalizi ya kuukaribisha mwaka 2013!!!!

WE ALL LOVE UUUUU!!!!!!

 

 

No comments: