Sunday, December 30, 2012

WANAMUZIKI WA INJILI NA WACHEZA FILAM WAKIWA NA NAIBU WAZIRI WA MICHEZO

Ni kikao kikubwa kati ya wadau na viongozi mbalimbali wa muziki na filamu na Mheshimiwa Makala ambaye ni Naibu waziri wa habari, vijana, utamaduni na michezo

Lengo la kikao hicho ni wasanii kufahamishwa jinsi serikali ilivyojipanga kuwasaidia wasanii wa Tanzania, ili wanufaike na kazi zao na kuwajengea heshima zaidi.

Katika kikao hicho chama cha muziki wa Injili Kimewakilishwa na  Addo November, John Shabani, Bahati Bukuku, Upendo Kilahiro, Cosmas Chidumule, George Mpella na Stella Joel,pichani ni matukio katika kikao hicho




              Bahati bukuku akiongea jambo wakati wa kikao


        Hapa wadau wakipata picha ya pamoja wakati wa kikao hicho


            Pichani ni mcheza filamu maarufu JB akichangia hoja na mawazo yake

        



            Ni mcheza filamu Ray akiongea na waziri wakati wa kikao hicho

No comments: