Wednesday, January 2, 2013


Ni New Year'special
Hii Kwa hisani kubwa ya Jumba kubwa katika maswala ya mapambo
                        Namaanisha''''''

HOMEZ DECO-Kreative homez

Inawaletea ofa maalum kwa ajili ya Mwaka mpya 2013.....Jamani kubwa hapa wapenzi wa Burudika blog tunazidi kukuletea mambo mazuri ni vipi tunaweza kubadilisha nyumba zetu kila siku kwa bei ya kawaida kabisa na kupata mwonekano tofauti kila siku kwa uhakika bila ubabaishaji.Kumbuka your home is the best place to stay,Tumetofautiana kipato ila hata kwa level zetu za kawaida tuna nafasi ya kupendezesha nyumba zetu na tukafurahia,naamini hivyo na tunaweza.

habari njema zaidi ni kwamba wewe mdau na mteja wetu unaweza ukatoa oda na kuanza kutoa pesa ya kitu ulichokipenda taratibu mpaka utakapomaliza tunakupatia bidhaa yako!!!!!!!!!


 Na hii ni kuanzia leo rasmi na kuendelea...kila siku utakua unapata mambo mapya bila kuchoka na utaweza kuchagua nini umependa na utatengenezewa kwa mda mfupi,

Tafadhali wasiliana na mimi kwa namba 0714 950054 beatrice au e-mail bkanemba@yahoo.com

Unachotakiwa kufanya ni kuangalia nini umependa na bei yake then utatoa oda yako!!!!!!!

Tunawapenda karibuni sana


Vioo vya ukutani Vyote ni Tshs.130,000/-










Hii ni 280000

Ni meza 180,000


Unachotakiwa kufanya

No comments: