MH''' I REAL LIKE THIS LADY JAMANI
Siwezi sema uongo ninapenda nyimbo za huyu dada kila ninapopata nafasi ya kuzisikiliza huwa nabarikiwa sana.....
BARIKIWA PAMOJA NAMI.......
![]() | |||||
Anakwenda kwa jina la CHRISTINA SHUSHOZAIDI jamani ni ule wimbo wa'''mimi nataka ushirika na wewe ewe rohoooooooooo,mimi nataka ushirika na weeeeeh'rohoooh |
No comments:
Post a Comment