Thursday, December 20, 2012

ANGELA CHIBALONZA


Sifa na utukufu ni kwa Mungu wetu aliye hai! 

 Neno la Mungu linasema, Usiogope, maana nimekukomboa; nimekuita kwa jina lako, wewe u wangu. Upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe; uendapo katika moto hutateketea; wala mwali wa moto hautakuunguza.(Isaya 43:1b-2). 

Mpendwa kumbuka Mungu aliyekukomboa alikuahidi kuwa atakuwa pamoja nawe wakati wote, kumbuka pia Mungu si mwanadamu hata aseme uongo. Simama imara ukiliitia jina la Bwana, songa mbele ukimtumikia na kumtumainia hakika hatma yako njema ya ushindi inakuja. Kwa maana Bwana anasema “…Iandike njozi ukaifanye iwe wazi sana katika vibao, ili aisomaye apate kuisoma kama maji. Maana njozi hii bado ni kwa wakati ulioamriwa, inafanya haraka ili kuufikilia mwisho wake, wala haitasema uongo; ijapokawia INGOJEE kwa kuwa haina budi kuja, haitakawia!(Hab.2:2-3). 

       Usikate tamaa mpendwa, kumbuka ahadi za Bwana juu ya hali unayopitia, kiri ushindi kwa kuwa wewe ni mshindi! unajua kwa nini…!unayemtegemea, Bwana Yesu alishashinda pale msalabani!usife moyo, songa mbele. Mungu akubariki.

   Hakika Mungu yeye anaishi  na kamwe hapungukiwi,ni angela chibalonza na wimbo wake WA yahwe uhimidiwe,
Please sikiliza huu wimbo na utafakari

END OF THE YEAR''''''

As we come to the end of the year we must remain focus on the glorious future that Christ has for us! We must purpose to fix our eyes on the author and finisher of our faith! We must press on and keep moving forward. 

 Each step we take is closer to our breakthrough and miracles then the last. The season is changing and the tides are turning! We must keep moving forward trusting the Lord! It could be that 2011 was full of challenges, failed dreams and many disappointments but beloved God is still on the throne! He is trustworthy and more than able to bring us to complete victory! 

God never ends on a sour note! If at this point in your life you are not where you should be know that this is just a chapter in your life and a new chapter is coming! The pages are turning and God has not finished writing the story of your life! 

As we cooperate with the Holy Spirit allowing Him to work in us to will and act according to His good purpose we become like Christ! We grow in our challenges and become warrior in the spirit. Keep moving forward beloved! 

The Lord is making you into a warrior! You are becoming Christ like every day! Keep moving forward as God’s future for you is as bring as His promises!

WE LIVE BY GOD'S GRACE


Sometimes God breaks our spirit to save our souls,

He breaks our hearts to make us whole

He allows pain to make us stronger

He sends us failure so we can be humble

He sometimes takes away every thing

So we can learn the value of everything he gave us

WE ALWAYS MAKE PLANS

BUT

WE LIVE BY GOD’S GRACE EVERYDAY


AMELAANIWA MTU YULE AMTEGEMEA MWANADAMU

Nguzo ya siku'''''''

IMANI YAKO ikimgusa MUNGU hautabaki kama ulivyo

                    Leo nawakumbusha wapendwa kuhusu kumtegemea MUNGU, na kumtumaini yeye kama BWANA NA MWOKOZI

 (ISAYA51;7)Amebarikiwa mtu yule amtumainiye BWANA, kwa maana hiyo kuna baraka katika kumtumaini BWANA, lakini kuna laana katika kumtumaini mwanadamu kama kinga(ISAYA51;5),

Usimtumaini mwanadamu MUNGU hapendi wewe umpe utukufu mwanadamu, hebu litaje jina la BWANA kila wakati, usitaje mali uliyonayo haitakusaidia(ZABURI 20;7) hawa wanataja farasi na hawa magari lakini sisi tutalitaja jina la BWANA.Hata kama unataka pesa hebu litaje jina la BWANA kwani amesema pesa na dhahabu ni za BWANA(HAGAI 2;8)










































MCH.KANEMBA KATIKA HUDUMA S.AFRICA


Mchungaji kanemba ambaye yuko masomoni south Africa Juzi amefanya ibada ya ubatizokatika tawi la TAG Magomeni lililoko katika nchi hiyo. kanisa hilolililo anzishwa miaka kadhaa iliyopita sasa na  linalosimamiwa na aliyekuwa mch msaidizi wa Magomeni mch Shedrack Ngamanga. 

katika miezi ya hivi karibuni Mch kanemba alijulisha kuwa mwakani kuna timu ya wainjilisti ambayo itasafiri kutoka Tanzania na kwenda kufanya mkutano wa injili na uinjilisti katika maeneo kuzunguka kanisa hilo katika kutia nguvu kanisa hilo. kwa sasa kanisa hilo ambalo linaendelea vizuri na lina washirika kutoka katika nchi mbalimbaliza Afrika ikiwapo Tanzania.

glory to our dear LORD

Mch Kanemba akiwa na moja ya washirka walio batizwa kwenye ibada ya ubatizo juzi jumapili huko Afika kusini


Mch kanemba akiwa na mch anayechunga tawi la magomeni Afrika kusini Mch Shedrack


Mch kanemba akihubiri kwenye ibada NA chini mc.dunstan Kanemba akiwa na baadhi ya waumini na wachungaji wa kanisa hilo


MCH.KANEMBA ANAKUALIKA


   UNGANA NA MCHUNGAJI KANEMBA KATIKA MAOMBI YA DUNIA
Mchungaji Kiongozi wa kanisa la TAG Magomeni ambaye yuko South afrika Kwa masomo, ameanzisha mtandao wa maombi kwa njia ya skype. maombi hayo ambayo yameanza mwezi uliopita yamekuwa ya baraka sana kwa wanaoshiriki. akiongea kutoka UK Bonny Shauri amefurahi jinsi technolojia inavyowezesha watu kutoka pande tofauti za Dunia kufanya maombi ya pamoja, maombi hayo yanayoongozwa na mchungaji huyo yanalenga sana mahitaji muhimu ya kila siku kama ifuatavyo
1. Afya 
2. Taifa (Serikali)
3. Kanisa 
4. Uamsho
5. Mafaniko kiuchumi na baraka za ndoa na watoto

kwa sasa ambao wameweza kujiunga na mtandao huu wa maombi ya  live ni Familia ya Silomba iliyoko Marekani, Familia ya Bonny Shauri Iliyopo UK, Ndugu Japhet aliyeko Sweden, Martin Malecela Tazania, Issack Kisiva Tanzania, Joseph Mwakibuti Tanzania, Peace Lumelezi na Charles Mwaihojo Tanzania na yanaongozwa na mch akiwa south Africa. maombi hayo ambayo yanafanyika kila jumamosi usiku kuanzia saa 22:00 kwa saa za Tanzania. Mchungaji Kanemba ameomba watu mbalimbali kujiunga ili tuweze kuomba kwa pamoja maana ni njia mojawapo ya kusababisha mafanikio katika familia zetu, maombi hayo ambayo huanza na neno linalotolewa na mch halafu maombi na kama kuna mtu mwenye hitaji binafsi basi baada ya maombi anaweza kuwasiliana na Mch kwa maombi na ushauri zaidi kwa njia hiyo ya skype.



hakika hakuna linaloshindikana mbele zake mungu...katika umbali wowote mungu anafika na  kukujibu haja ya moyo wako






































ILIKUA NI NDOA YA MARTHA MWAIPAJA

Hatimaye sasa ni Bwana na Bi John Said. Baba ni Mchungaji, Mama ni Muimbaji
Watoto watakuweje, ni baraka zaidi hata. Tazama baadhi ya picha uone mambo yalivyokuwa kwenye sherehe ya wanandoa hawa wapya.

Furaha haziwezi kuisha kwenye nyuso za maharusi hawa, Mchungaji John Said na muimbaji maarufu wa nyimbo za Injili, Martha Mwaipaja. Sinza Deluxe Inn ndio ukumbi ulioweka historia ya sherehe maharusi hawa waliafikiana kuwa mwili mmoja.


 

 

Mama mzazi wa Mchungaji John Said akizungumza mawili matatu na kuitabiria mema ndoa ya mwanaye kwenye sherehe amabyo ilifana pale Sinza Deluxe Inn.









































OOOOOOH' MY GOD IS GUDOOH'


Hakika katika yesu everything is double double.......

Ni pastor uche aliyeimba wimbo huo akiwa katika utumishi wake.....Ni  wimbo mmoja ambao umekujlikana katika eneo kubwa la nchi mbalimbali nakupitia wimbo huo yeye amejulikana kulitangaza jina la yesu kristo
           
Haijalishi uko katika hali gani leo ila Mungu wetu anaweza kukubadilisha ukawa wa tofauti na aina yake katika ulimwengu huu

Yeye anasema anampenda mungu na amejidhihirisha katika maisha yake,nae ni mtoto katika familia ya kichungaji na kulelewa katika maadili hayo.Jina lake kamili ni  Uchechukwu Godstime Aguna kwa ufupi ndio uche

        Hapa ni pastor uche akiwa katika utumishi





































MUIMBAJI WA KWETU PAZURI AJIFUNGUA NA AMERUDI RASMI KWENYE KWAYA

Baada ya kukaa nje ya kwaya yake kwa takribani miaka miwili sasa, hatimaye malkia wa kundi la Ambassadors of Christ wana ''Kwetu Pazuri'' kutoka kanisa la kisabato Remera Rwanda, Umulisa Yvonne Habimana, amerejea rasmi katika kwaya yake na kuwa endapo mahudhurio yake yatakuwa mazuri anategemea kuwemo katika album mpya ya kwaya hiyo ambayo wanatarajia kurekodi karibuni.


Yvonne ambaye alijifungua mtoto wake wa kwanza mapema mwezi wa tano mwaka huu nakumpa jina la Aria Tesi kwa muda wote huo amekuwa nje ya kwaya hiyo na kufanya mashabiki wake na wa kwaya hiyo kuulizia uwepo wake popote kundi hilo hata wimbo maarufu uliolitambulisha kundi hilo wa ''kwetu pazuri'' aliouimbisha mwanadada huyo kuanzishwa na mwanadada mwingine aitwaye Sarah Uwera.






                             Yvonne na mtotowake Aria Tesi Habimana.